• Sehemu ya I: Kuendesha Biashara Ndogo ndogo

    Posted on September 30, 2011 by in Ujasiriamali

    Maelezo ya utangulizi juu ya kuendesha biashara ndogondogo na faida yake kwa wajasiriamali na taifa kwa ujumla

    1.0        Biashara ndogo ndogo ni ile ambayo

    -                      Inamilikiwa na kuendeshwa kibinafsi

    -                      Inafanya kazi katika eneo dogo la nyumbani

    -                      Haijaota mizizi katika utendaji

    -                      Ina mtaji mdogo.

    2.0        Umuhimu wa Biashara ndogo ndogo

    -                      Inachangia mchango mkubwa sana katika uchumi

    -                      Ni rahisi kuifanya, kimtaji na kiuongozi

    -                      Ni rahisi kupata wateja

    3.0        Faida ya biashara ndogo ndogo

    -                      Inakuza uchumi kwa haraka, ndio maana wachumi wengi duniani wameipa umuhimu

    -                      Inazalisha sana kwani inahitaji wafanyakazi wachache

    -                      Ugunduzi wa technolojia mpya

    -                      Inachangia ushindani wa kibiashara na kuleta ahueni kwa walaji.

    4.0        Vikwazo kwa Wafanya biashara ndogo ndogo

    1. Elimu ya biashara
    2. Ufahamu wa soko
    3. Utaalamu wa kiufundi
    4. Mtaji wa kuanzia
    5. Ufahamu wa biashara husika motisha
    6. Aibu ya kijamii, kimila au kielimu nk.
    7. Muda usiotosha
    8. Vikwazo vya kisheria, sera nk.
    9. Kulindana kibiashara, kumiliki soko (monopoly)

    Incoming search terms:

    • aina za biashara ndogo ndogo
    • Biashara zinazoongoza kwa faida
    • Aina ya biashara ndogo ndogo
    • hatua 26 za kufuata katika kuanzisha biashara ndogondogo
    • mwongozo wa biashara ndogondogo
    • namna ya kuanzisha biashara ndogondogo
    • namna ya kuanzisha biashara ndogo
    • MWONGOZO WA BIASHARA NDOGO NDOGO
    • jinsi ya kuendesha biashara
    • hatua muhimu za kufuata katika kuanzisha biashara

    Post Tagged with

One Responseso far.

  1. marymuna says:

    Ninapotaka kuanzisha biashara natakiwa niwe na vitu gani? Namaanisha vitendea kazi gani?

Leave a Reply