• Kuandika Mchanganuo wa Biashara -Business Plan

    Posted on December 21, 2011 by in Kuanzisha biashara

    Mchanganuo wa biashara ni maelezo ya kina ambayo inaonyesha biashara yako ilikotoka, inakokwenda, hali ya masoko, sekta, kifedha na uongozi wa biahara yako. Ni taarifa muhimu ya kuwavutia wawekezaji na watoa mikopo kama mabenki

    Mambo muhimu ya kujua katika kuandika Mchanganuo wa Biashara au Business Plan

    1. Muhtasari wa biashara yako
    2. Historia na maelezo ya biashara yako
    3. Maelezo ya bidhaa au huduma ya biashara yako
    4. Mchanganuo wa masoko
      1. Ukubwa wa soko
      2. Mgawanyo wa soko
      3. Aina ya soko/masoko
      4. Mchanganuo wa ushindani
        1. Watoa huduma au wauza bidhaa kama yako
        2. Udhaifu wao
        3. Uwezo wao
        4. Mkakati wa utekelezaji
          1. Uongozi na usimamizi wa kazi
          2. Uchambuzi wa madhaifu, nguvu, fursa na hatari zinazokabili biashara yako
          3. Mkakati wa Uzalishaji
          4. Mkakati wa kuuza
    1. Mpango wa fedha
      1. Uchambuzi wa mahitaji ya mtaji
      2. Wapi utatoa mtaji
      3. Matumizi ya mtaji
      4. Makisio ya Mauzo
      5. Uchambuzi wa kurudisha gharama (break even analysis)
      6. Makisio ya faida au hasara
      7. Makisio ya mzunguko wa fedha katika biashara yako (cashflow)
      8. Makisio ya oanisho la mali na madeni ya biashara yako (balance sheet)
      9. Ulinganifu wa sehemu mbalimbali za biashara (business ratios)
      10. Viambatanishoi.    Lesseniii.    Cheti cha ulipaji kodi

        iii.    Cheti cha usajili
        iv.    Taarifa mbalimbali za biashara yako ambazo hazikupata nafasi ndani ya mchanganuo huu

        v.    nk

    Incoming search terms:

    • mchanganuo wa mradi
    • mpango wa biashara
    • mchanganuo wa mpango wa biashara
    • mfano wa bussiness plan
    • mambo muhimu katika mchanganuo
    • why entrepreneurship today
    • mfano wa mpango mkakati
    • mfano mpango mkakati
    • jinsi ya kuandika mchanganuo
    • kuandika mpango wa biashara

Leave a Reply