Kitabu cha stoo

Kitabu cha stoo

Kitabu cha stoo lengo lake ni kuweka kumbukumbu ya bidhaa za kuuzwa au malighafi ili zisipotee bure au kuibiwa. Na pia inawezesha kutumika vizuri au kuuzwa kwa utaratibu mzuri bila kujichanganya. Kila bidhaa irekodiwe peke yake katika kiabu cha stoo. Hii ina maana kuwa kama mjasiriamali ana bidhaa tano, basi anashauriwa kuwa na vitabu vitano vya stoo tofauti. Ikumbukwe kuwa bidhaa ni zile tu ambazo mjasiriamali amevinunua ili aviuze (kama vile sabuni ya kuuza dukani) au amezalisha ili aviuze (kama vile mahindi ya kuvuna, nyanya nk.) au ni malighafi (kama vile mbolea, mbegu, nk.)

Jina la stoo/biashara………………… Jina la mtunza stoo …………………………

Tarehe

Maelezo ya bidhaa

Idadi

Baki

iliyoingia iliyotoka

Mwisho (End):

Kama umependa makala hii weka maoni yako ya shukrani hapo chini au washirikishe marafiki zako wa kwenye Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter na kwenye email au mitandao mingine ya kijamii. Wasiliana nasi kama unataka kuweka kwenye blogu au website yako kwa maelekezo zaidi

If you found this article helpful please leave the comment below or share to your friends in Facebook, Instagram, Linkedin, Whatsapp, Twitter and in email or other social media. Contact us if you plan to list in your blog or website for further instructions.

Tutembelee kwenye mitandao ya kijamii hapa chini:

We offer but not limited to the following:
Business Office Documents Development, Company Registration, Business Plan Development, Curricula Development for colleges, Office Digitization Consultancy, Online Presence and Marketing Consultancy, Leadership and Management Consultancy, Constitution Development  and much more

English Form

Fomu ya Kiswahili


city, country
mji, nchi